1862
Mandhari
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |
Karne ya 18 |
Karne ya 19
| Karne ya 20
| ►
◄ |
Miaka ya 1830 |
Miaka ya 1840 |
Miaka ya 1850 |
Miaka ya 1860
| Miaka ya 1870
| Miaka ya 1880
| Miaka ya 1890
| ►
◄◄ |
◄ |
1858 |
1859 |
1860 |
1861 |
1862
| 1863
| 1864
| 1865
| 1866
| ►
| ►►
Makala hii inahusu mwaka 1862 BK (Baada ya Kristo).
Matukio
[hariri | hariri chanzo]Waliozaliwa
[hariri | hariri chanzo]| Kalenda ya Gregori | 2026 MMXXVI |
| Kalenda ya Kiyahudi | 5786 – 5787 |
| Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2779 |
| Kalenda ya Ethiopia | 2018 – 2019 |
| Kalenda ya Kiarmenia | 1475 ԹՎ ՌՆՀԵ |
| Kalenda ya Kiislamu | 1448 – 1449 |
| Kalenda ya Kiajemi | 1404 – 1405 |
| Kalenda za Kihindu | |
| - Vikram Samvat | 2081 – 2082 |
| - Shaka Samvat | 1948 – 1949 |
| - Kali Yuga | 5127 – 5128 |
| Kalenda ya Kichina | 4722 – 4723 乙巳 – 丙午 |
- 24 Januari - Edith Wharton, mwandishi kutoka Marekani
- 28 Machi - Aristide Briand (Waziri Mkuu wa Ufaransa na mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani, mwaka wa 1926)
- 2 Aprili - Nicholas Butler (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani mwaka wa 1931)
- 5 Juni - Allvar Gullstrand (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1911)
- 7 Juni - Philipp Lenard (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1905)
- 2 Julai - William Henry Bragg (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1915)
- 29 Agosti - Maurice Maeterlinck (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1911)
- 4 Septemba - Carl Velten (mkusanyaji wa hadithi za Kiswahili)
- 25 Septemba - Billy Hughes (Waziri Mkuu wa Australia)
- 6 Oktoba – Albert Beveridge (mwanasiasa wa Marekani na mshindi wa Tuzo ya Pulitzer, mwaka wa 1920)
- 15 Novemba - Gerhart Hauptmann (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1912)
Waliofariki
[hariri | hariri chanzo]- 18 Januari - John Tyler, Rais wa Marekani (1841-1845)
- 24 Julai - Martin Van Buren, Rais wa Marekani (1837-1841)
